Complete website at reasonable price
Tuna andaa (designing) na kusajili Websites kwa ajili ya Shule, Vyuo, Taasisi na Biashara kwa Tsh 250,000 tu. Hii inahusisha kuandaa, kusajili na kuweka website yako online, hakuna malipo ya ziada
Tunahudumia zaidi ya Websites 750 za Biasahara, Shule, Vyuo na Taasisi mbalimbali ndani na nje ya Tanzania.
- LIPA BAADA YA KAZI: Tunajenga uaminifu kwa kupokea kazi yako, kuifanya na kuiweka online kabla ya malipo, utalipa baada ya website kukamilika
- MAHITAJI: Mahitaji ni maelezo kuhusu Biashara/Taasisi yako, picha mbalimbali, nembo/logo na chochote cha ziada kama video nk
- DOMAIN + HOSTING: Kwa website designers na wateja wanaohitaji Domain registration na Hosting pekee, bei ni Sh 95,000 tu kwa Mwaka.